Matthew 5:1-6
(Mathayo 5–7)
Sifa Za Aliyebarikiwa
(Luka 6:20-23)
1 aBasi Isa alipoona makutano, alipanda mlimani akaketi chini, nao wanafunzi wake wakamjia. 2Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:3 b“Heri walio maskini wa roho,
maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
4 cHeri wale wanaohuzunika,
maana hao watafarijiwa.
5 dHeri walio wapole,
maana hao watairithi nchi.
6 eHeri wenye njaa na kiu ya haki,
maana hao watatoshelezwa.
Copyright information for
SwhKC